Timu ya sekondari ya chief ntinginya inaongoza kundi B zikiwemo timu za shule za sekondari za badri, Nzega day na itilo baada ya kuzichakaza vizuri timu ya badri na nzega day na hivyo kujijengea mazingara mazuri ya kuongoza kundilo lao, mechi ya mwisho inayosubiliwa kwa hamu ni kati ya chief vs itilo, ilifanikiwa kushinda basi itakutana na mshindi wa pili kutoka kundi A lililo na timu za uchama, samora, ijanija na FDC.
CHIEF NTINGINYA SECONDARY SCHOOL
CHIEF NTINGINYA SECONDARY SCHOOL, ni shule ya serikali iliyopo mkoani tabora wilayani nzega (mjini). Inapatikana kilimita chache nyuma ya hospitali ya wilaya ya nzega, kwetu sisi "ELIMU NI UWEKEZAJI"
CHIEF NTINGINYA SECONDARY SCHOOL
Thursday 28 April 2016
Saturday 15 August 2015
Mitaala ya Elimu Tanzania
Mitaala ya Elimu katika ngazi za Elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na Vyuo vya Ualimu imewekwa katika tovuti hii.
Mitaala
hii ni ile iliyoandaliwa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi mwaka
2005 ambayo ilizingatia ufundishaji unaozingatia ujuzi na ujenzi wa
maana badala ya ule wa awali unaozingatia maarifa. Mitaala hii imekuwa
ikitumika kwa kipindi chote kuanzia mwaka 2005 hadi hivi sasa.
Mitaala
imeboreshwa kufuatia mchakato wa majadiliano katika vikao vya Bunge la
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vilivyofanyika mwezi Februari 2013,
pamoja na maoni na hoja mbalimbali zilizotoka kwa wadau wa elimu.
Pamoja
na maboresho yaliyofanyika, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
inaweka mitaala hii wazi kwa wadau wote wa elimu na jamii kwa ujumla ili
kuendelea kupata maoni zaidi ya jinsi na namna ya kuiboresha mitaala
hiyo.
Aidha, katika kipindi hiki cha kukusanya maoni, mitaala hii itaendelea kutumika hadi hapo mchakato wa kuihuisha utakapokuwa umekamilika. BOFYA HAPA KWA MAELEZO ZAIDI
Subscribe to:
Posts (Atom)